Jumapili, 15 Desemba 2013

ULIKUWA NI USIKU WA MARAHA NA SWAGGA ZA KUTOSHA

             Mrithi wa sharo mkali wa wa swagga za kutosha afamikae kwa jina la jay maswagger aliyewahi
             kupagawisha moro pande za chita akaonyesha swagger za kutosha na tuka hamini kwamba kweli
             uyu ni mrithi wa sharo millionea kwa sababu vitu vilivyo fanyika hautuku hamini kama angeweza
             kufanya vitu kama vile

Jumamosi, 7 Desemba 2013

VIDEO: JAY MASWAGGER AWAIMIZA VIJANA KUKITAMBUA CHAMA TAWALA CHA MAPINDUZI

                
                 

Jumatano, 20 Novemba 2013

VIDEO: MZIGO MPYA WA KALA JEREMIAH FT NEY LEEE -- WALE WALE ICHEKI HAPA


                       Msanii wa Hip hop nchi Kala jeremiah  ameachi video ya mpya "wale wale"
                       icheki hapo chini
                      

Jumanne, 19 Novemba 2013

PICHA: "UWOYA NAYE AJICHORA TATOO KIUNO"

                       
           

Jumatatu, 18 Novemba 2013

MSANII WA BENDI YA FM ACADEMIA AFARIKI DUNIA

                     Msanii Aristote shungu wa bendi ya Fm academia, afariki dunia nchini china 
                Kwa madawa ya kulevya ,Badaa ya kupasukia tumboni (picha ya mwili wa marehemu chini)
                          Alikuwa yeye msanii wenzake, Canal top ambaye nayepia aliyake sio nzuri
                          Mwili wa marehemu bado uko nchini china kwa uchunguzi zaidi.

Jumamosi, 9 Novemba 2013

VIDEO: SHILOLE >NAKOMAA NA JIJI (BRAND NEW)

                Shilole classic ameachia video yake mpya 'nakomaa na jiji chini ya director Nisher                                          Icheki hapa.
             
            
                                           

Alhamisi, 7 Novemba 2013

Jumatano, 6 Novemba 2013

DIAMOND KUANGUKIA KWENYE MOVIE

                 
                      Staa wa bongo fleva Nasibu Abdul 'Diamond platinum'
                    anatarajia kushoot movie yake, yeye akiwa kama actor 
                    akishirikiana na msanii mwezake Wema Sepetu
                    katika movie hiyo ambayo itaanza kutengenezwa mapema mwaka huu
                  "wadau katika tasnia ya movie kaeni tayari kwa vitu vipya kwenye tasnia hiyo"

Ijumaa, 20 Septemba 2013

WEMA SEPETU,PENNY NDANI YA BIFU ZITO


  Diva wa bongo movie Wema Sepetu inasemekana yupo kwenye bifu zito na rafiki ambaye amemchukulia mwanaume Penny na kufika mbali kuwa anajipanga kulipiza kisasi kwa kitendo hicho.
Kwa mujibu wa chanzo cha habari ambaye ni rafiki wa karibu wa Wema amesema msanii huyo kwa sasa yupo katika wakati mgumu kwani mara nyingi amekuwa akiongelea uhusiano kati ya Diamond na Penny.Mpasha habari wetu alienda mbali baada ya kusema kwa sasa Wema anajipanga kurudiana na Diamond,imeelezwa.

Alhamisi, 19 Septemba 2013

WILLIAM MTITU ALALAMA KUHUSU WASAMBAZAJI

                          Mtayarishaji  na  muigizaji mkongwe nchini ambaye kwa sasa amegeukia katika
                          usambazaji wa filamu William J Mtitu amelalamika jinsi hali za umiliki wa filamu
                          za kitanzania kuwa hauna faida kwa wamiliki wa filamu nchini......William Mtitu
                         ambaye kwa sasa ameanzisha kampuni ya usambazaji inayokwenda kwa jina la
                         5 Effects Movies Ltd,ameishutumu kampuni ya steps  kuwa inanyonya hakimiliki
                         za watayarishaji na kuongeza kuwa mtayarishaji hana umiliki baada ya kufika
                         steps kwani anakuwa hafaidiki tena na kumalizia hata filamu alizoandaa yeye chini
                         ya steps entertainment hana haki nazo tena.

BACK 2 LIFE MTAANI

                             Msanii Sean Kingston akitangaza albam yake mpya inayokwenda kwa jina
                             BACK 2 LIFE katika kipindi cha 106  & PARK  nchini Marekani kama
                              alivyoandika katika ukurasa wake wa facebookhttps://www.facebook.com/seankingston

DIAMOND PLATNAMZ............

                                Msanii Diamond akiwa nchini Malaysia akijiandaa kufanya show katika
                                ukumbi wa likwid club uliopo nchini humo........mia  bro

Jumanne, 17 Septemba 2013

DOWNLOAD NAUSIKILIZE NYIMBO YA MSANII CHICHI CHADALA .........

DOWNLOAD NAUSIKILIZE NYIMBO YA CHICHI CHADALA FEAT JAY MASWAGA NGOMA INAITWA UNANITESAGA
         BOFYA HAPAhttp://www.hulkshare.com/jefries/chichi-chadala-ft-jay-maswagger-unanitesaga

Jumatatu, 16 Septemba 2013

I'm listening to Jefries @Hulkshare:

I'm listening to Jefries @Hulkshare:

UCHAGUZI RWANDA LEO................,,,,

   
    watu zaidi ya milioni sita wamejitokeza leo kupiga kura nchini Rwanda kwa mfumo wa vyama vingi .

 Uchaguzi huu usio na upinzani mkubwa ni kama kupiga muhuri tu uongozi wa chama cha RPF chakeRais      Paul Kagame ambacho kimekuwa uongozini tangu kumalizika kwa mauaji ya Kimbari mwaka 1994.
                                             kwa habari zaidi tembelea                                                                                               http://www.bbc.co.uk/swahili/habari/2013/09/130916_rwanda_uchaguzi

Jumapili, 15 Septemba 2013

IRENE UWOYA BAADA YA KUHUSISHWA KUIBA SIMU ANENA...............,,,,,

Baada  ya  kuandikwa  kwenye  gazeti moja nchini msanii wa filamu nchini  Irene  Uwoya.....akihusishwa kuiba simu aina ya Iphone 5 toleo jipya la mwaka huu.....amejibu shutuma hizo dhidi ya mmiliki wa gazeti hilo  ambaye  ni  Erick  Shigongo kama alivyoandika kwenye ukurasa wake wa  instagram........nanukuu"mimi ni mti wenye  matunda  milele siogopi kupigwa mawe...............Shigongo  kaamua kunichafua coz mi nina kesi nae mahakamani,anadhani  nitaiacha never yeye aponde  anavyoweza  ila mwisho wa siku sheria itafuata mkondo wake,mi na yake mengi nayajua ila ngoja ninyamaze nisimwagiwe tindikali............"alimalizia................................sisi kama leo  blog tunawashauri wakae chini wayamalize kama watu wazima.

LEO: He lives on............................

LEO: He lives on............................

LEO: He lives on............................

LEO: He lives on............................

LEO: He lives on............................

LEO: He lives on............................

Jumamosi, 14 Septemba 2013