icheki hapo chini
Jumatano, 20 Novemba 2013
Jumanne, 19 Novemba 2013
Jumatatu, 18 Novemba 2013
MSANII WA BENDI YA FM ACADEMIA AFARIKI DUNIA
Msanii Aristote shungu wa bendi ya Fm academia, afariki dunia nchini china
Kwa madawa ya kulevya ,Badaa ya kupasukia tumboni (picha ya mwili wa marehemu chini)
Alikuwa yeye msanii wenzake, Canal top ambaye nayepia aliyake sio nzuri
Mwili wa marehemu bado uko nchini china kwa uchunguzi zaidi.
Kwa madawa ya kulevya ,Badaa ya kupasukia tumboni (picha ya mwili wa marehemu chini)
Alikuwa yeye msanii wenzake, Canal top ambaye nayepia aliyake sio nzuri
Mwili wa marehemu bado uko nchini china kwa uchunguzi zaidi.
Jumamosi, 16 Novemba 2013
Jumamosi, 9 Novemba 2013
VIDEO: SHILOLE >NAKOMAA NA JIJI (BRAND NEW)
Shilole classic ameachia video yake mpya 'nakomaa na jiji chini ya director Nisher Icheki hapa.
Alhamisi, 7 Novemba 2013
Jumatano, 6 Novemba 2013
DIAMOND KUANGUKIA KWENYE MOVIE
Staa wa bongo fleva Nasibu Abdul 'Diamond platinum'
anatarajia kushoot movie yake, yeye akiwa kama actor
akishirikiana na msanii mwezake Wema Sepetu
katika movie hiyo ambayo itaanza kutengenezwa mapema mwaka huu
"wadau katika tasnia ya movie kaeni tayari kwa vitu vipya kwenye tasnia hiyo"
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)





