Alhamisi, 19 Septemba 2013

WILLIAM MTITU ALALAMA KUHUSU WASAMBAZAJI

                          Mtayarishaji  na  muigizaji mkongwe nchini ambaye kwa sasa amegeukia katika
                          usambazaji wa filamu William J Mtitu amelalamika jinsi hali za umiliki wa filamu
                          za kitanzania kuwa hauna faida kwa wamiliki wa filamu nchini......William Mtitu
                         ambaye kwa sasa ameanzisha kampuni ya usambazaji inayokwenda kwa jina la
                         5 Effects Movies Ltd,ameishutumu kampuni ya steps  kuwa inanyonya hakimiliki
                         za watayarishaji na kuongeza kuwa mtayarishaji hana umiliki baada ya kufika
                         steps kwani anakuwa hafaidiki tena na kumalizia hata filamu alizoandaa yeye chini
                         ya steps entertainment hana haki nazo tena.

Hakuna maoni: