Staa wa bongo fleva Nasibu Abdul 'Diamond platinum'
anatarajia kushoot movie yake, yeye akiwa kama actor
akishirikiana na msanii mwezake Wema Sepetu
katika movie hiyo ambayo itaanza kutengenezwa mapema mwaka huu
"wadau katika tasnia ya movie kaeni tayari kwa vitu vipya kwenye tasnia hiyo"