Jumapili, 15 Septemba 2013

IRENE UWOYA BAADA YA KUHUSISHWA KUIBA SIMU ANENA...............,,,,,

Baada  ya  kuandikwa  kwenye  gazeti moja nchini msanii wa filamu nchini  Irene  Uwoya.....akihusishwa kuiba simu aina ya Iphone 5 toleo jipya la mwaka huu.....amejibu shutuma hizo dhidi ya mmiliki wa gazeti hilo  ambaye  ni  Erick  Shigongo kama alivyoandika kwenye ukurasa wake wa  instagram........nanukuu"mimi ni mti wenye  matunda  milele siogopi kupigwa mawe...............Shigongo  kaamua kunichafua coz mi nina kesi nae mahakamani,anadhani  nitaiacha never yeye aponde  anavyoweza  ila mwisho wa siku sheria itafuata mkondo wake,mi na yake mengi nayajua ila ngoja ninyamaze nisimwagiwe tindikali............"alimalizia................................sisi kama leo  blog tunawashauri wakae chini wayamalize kama watu wazima.